Utangulizi wa Mhariri: Mitazamo ya Fasihi Afrika Mashariki

No Thumbnail Available

Date

2019-11-25

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Eastern African Literary and Cultural Studies

Abstract

Hili toleo maalum la jarida la East African Literary and Cultural Studies, sio tu kwamba ni la kihistoria tu bali limetokea wakati mwafaka katika historia ya maendeleo ya Kiswahili. Kumekuwa na mwamko mpya kuhusiana na maendeleo ya Kiswahili ndani na nje ya Afrika Mashariki, mwamko ambao ni mwangwi wa mawanio na matarajio ya wakereketwa wa Kiswahili wa tangu azali. Baba wa fasihi ya kisasa ya Kiswahili Shaaban bin Robert au kwa jina jingine Shaaban Ulenge, alikuwa miongoni mwa wachangiaji wakubwa wa fasihi ya Kiswahili na utetezi wa lugha hii ya mawasiliano mapana katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.

Description

Journal Article

Keywords

Fasihi, Upya, Uhakiki, Mitazamo, Afrika Mashariki

Citation

Waliaula, K. W. (2019) Utangulizi wa Mhariri: Mitazamo ya Fasihi Afrika Mashariki, Eastern African Literary and Cultural Studies, 5(3-4), 151-154, DOI: 10.1080/23277408.2019.1620978

Collections