Kibuspace

Kibuspace is the institutional repository of Kibabii University, the repository preserves the University's research legacy and all aspects of knowledge generated by KIBU community for posterity

 

Communities in DSpace

Select a community to browse its collections.

Recent Submissions

Item
Kufaa Kwa Nadharia Ya Uchanganuzi Vijenzi Katika Uchambuzi Wa Hiponimia
(Kiswahili, 2014-03-09) Okal, Benard Odoyo; Indede, Florence; Mohochi, Ernest Sangai
Hiponimia ni mojawapo ya mahusiano ya kifahiwa inayoashiria uhusiano ambapo leksimu ya jumla inajumuisha kimaana leksimu mahususi. Uhusiano wa leksimu kihiponimia ulidhukuriwa kuwa unafanana katika lugha anuwai ulimwenguni na aghalabu Hunahusisha leksimu nomino pekee. Hata hivyo, tafiti za hivi punde zinadhihirisha kuwa hiponimia huonekana pia miongoni mwa vivumishi, vielezi na vitenzi na huweza kutofautiana kimuundo na kimtindo kutoka lugha moja hadi nyingine kwa sababu ya tofauti za kitamaduni. Wataalamu anuwai wamekuwa na mapendekezo kadha kuhusu nadharia ifaayo ya kuainisha leksimu za lugha kihiponimia. Wengine wanaelekea kupendelea matumizi ya nadharia ya Kiini Maana (Core Meanings Theory) na Nadharia ya Sampuli Kifani (Prototype Theory). Hata hivyo inadhihirika kuwa nadharia ya Uchanganuzi Vijenzi (Componential Analysis) inafaa zaidi katika uchanganuzi wa hiponimia ya leksimu nomino, vitenzi, vivumishi na vielezi. Makala haya yanaangazia kufaa kwa nadharia hii katika uhakiki wa hiponimia ikilinganishwa na nadharia Kiini Maana na Sampuli Kifani
Item
Uchanganuzi wa Hiponimia za Vitenzi vya Kiswahili
(Swahili Forum, 2016-03-09) Okal, Benard Odoyo; Indede, Florence; Mohochi, Ernest Sangai
Hiponimia ni uhusiano wa kifahiwa unaodhihirika baina ya leksimu ya jumla (hipanimu) na mahususi (hiponimu). Kama vile hipanimu mzazi hujumuisha hiponimu baba na mama. Uhusiano huu wa kihiponimia ulidhukuriwa na wanaisimu wa awali kuwa unahusisha leksimu nomino pekee. Hata hivyo, tafiti za hivi punde zinadhihirisha kuwa hiponimia huweza kudhihirika pia miongoni mwa kategoria za vivumishi, vielezi na vitenzi. Ingawa kuna midhihiriko ya hiponimia za vitenzi vya Kiswahili, wataalamu kadha wameelekea kushughulikia hiponimia za nomino na kutotilia maanani vitenzi. Hivyo basi, makala hii imechanganua uhusiano wa kihiponimia unaodhihirika miongoni mwa vitenzi teule vya Kiswahili. Katika kushughulikia suala hili, hipanimu vitenzi 24 kutoka kamusi za Kiswahili zimeteuliwa kimakusudi na hiponimu husika kutolewa. Nadharia ya Uchanganuzi Vijenzi kwa mujibu wa Katz na Fodor imezingatiwa katika uchanganuzi wa hiponimia hizi. Katika nadharia hii, sifa bainifu za hiponimu husika huonyeshwa kwa kutumia alama maalum za [+, -]. Data kuhusu hiponimia za vitenzi ilipekuliwa kutoka kamusi za Kiswahili kwa kuzingatia mwelekeo wa kiishara au kisintaksia kwa mujibu wa Hearst, na Snow na wenzake ili kuweza kutambua hipanimu na hiponimu husika katika sentensi. Hiponimia hizi zimechanganuliwa na kuwasilishwa kwa mtindo wa nadharia ya seti. Hyponymy is a sense relation existing between general lexemes (hypernym) and the specific ones (hyponym). For instance, a hypernym parent includes hyponyms like father and mother. The hyponymy relation was regarded by earlier linguists that it could exist only amongst nouns. However, recent studies indicate that hyponymy can also be manifested in other categories such as adjectives, adverbs and verbs. Though there is hyponymy relation existing amongst Kiswahili verbs, various scholars have tended to focus on nominal hyponymy and disregard verbal hyponymy. Therefore, this article has analyzed the hyponymy relation existing amongst selected Kiswahili verbs. In this regard, 24 verbal hypernyms from Kiswahili dictionaries were purposively sampled and their specific hyponyms indicated. Componential Analysis theory by Katz and Fodor has been used in the analysis of these hyponyms. The theory focuses on distinctive features of specific hyponyms that are normally shown by the use of specific signs [+, -]. The data on verbal hyponymy was observed from the Kiswahili dictionaries by the application of symbolic or syntactic approach propounded by Hearst, and Snow et al in order to identify the hypernyms and specific hyponyms in a sentence. These hyponymy relations are analyzed and presented using the set theory style
Item
A Contextual Analysis of Community Radio Programming and Peace Promotion in Political Campaigns in Kenya: A Case of Migori County
(New Media and Mass Communication, 2018-03-09) Mac' Ouma, Enock; Kinya, Henry; Mohochi, Ernest Sangai; Oluoch, John
With their ability to reach and influence a large number of people, community radios wield immense power in shaping the course of political discourse and contestations. Although many examples of the media’s negative contribution to escalation of violence and conflicts exist, fair and accurate journalism that builds confidence and counteracts misperceptions has the potential to transform and prevent political violence. Migori County is listed by the National Commission on Integration and Cohesion(NCIC) as one of the political violence hotspots in Kenya. The aim of this study was to investigate both programme genre and broadcast content of three community radios in the region. The objectives of the study were: To establish whether Milambo Radio 103.8 FM, Radio Tarumbeta 90.4 FM and Radio Rameny88.3 FM have programmes designed for promoting peaceful political campaigns in Migori County; to determine the extent to which such programmes are used in promoting peaceful political campaigns and to explore strategies through which the programmes may be made more effective in promoting peaceful political campaigns. The study used face-to-face interviews, focus group discussions and document analysis. Agenda Setting Theory supported by the Media Effects Theory were used.
Item
Analysis of Students’ Attitudes towards the Use of Kiswahili in Teaching Communication Skills in Technical Institutes in Kenya
(International Journal of Humanities and Social Science, 2018-07-09) Kavoi, Jackson Mutuku; Mohochi, Ernest Sangai; Mwenda, Mukuthuria
This study investigated students’ attitudes towards the use of Kiswahili in teaching communication skills in technical institutes, in Kenya. An adapted communication skills attitude scale was used as a tool for measuring attitudes. Also, 5 institutions and 148 respondents were involved. A descriptive survey design and SPSS data analysis tool was used. 2.82% of 142 respondents depicted negative attitudes, while 97.18% were positive about being taught Communication Skills in Kiswahili. Alongside, students pursuing arts-related courses posted low positive attitudes compared to the science ones. Likewise, the diploma students reflected low positive attitudes compared to the certificate ones, hence the level of study had no attitudes influence towards the use of Kiswahili in teaching communication skills. The reason behind the positivity and difference in attitudes, was feeling of incompetence, hence the need to sharpen their communication skills. Contrary, the gender factor influenced attitudes towards the use of Kiswahili in teaching communications skills
Item
An Investigation of Language Maintenance Strategies Among the Maragoli Youth of Uriri Subcounty, Kenya
(Academic Research International, 2018-12-09) Nabeta, K.N. S., Nyandiba N. C. & Mohochi, E. S. (2018).
Uriri Sub County has a complex language ecology composed of Dholuo, Kuria, EkeGusii, Somali, Luhya dialects, among other languages. Some of these languages have been in contact for many years. It has been imperative that every community maintains their own language. Language maintenance is an integral part of any language survival, as espoused by UNESCO and ACALAN. UNESCO has extensively researched on language death, attrition and shift and reported that many indigenous languages across the globe are dying due to shift and disuse by the speakers, a situation that has been rendered dire. UNESCO has been of the opinion that every effort must be put in place, theoretically and in practice, to save dying languages and to maintain those that are surviving. Lullogoli, a dialect of Luhya, has been in contact with Dholuo for over 78 years and still shows signs of survival despite the fact that it has fewer speakers in Uriri Sub County compared to Dholuo. In an attempt to fulfil the UNESCO and ACALAN mandate, this paper investigated language maintenance strategies employed by the minority Maragoli youth living in Uriri Sub County, Kenya. Our data was collected using questionnaires, interviews and observations. Our findings shows that the Maragoli youth in Uriri Sub County have been using strategies like speaking Lullogoli at home, listening to Lullogoli radio broadcasts, learning from parents and guardians at home among other strategies to keep alive their language