Search
Now showing items 1-10 of 11
Dhuluma kama kichocheo cha mzinduko wa wanawake katika riwaya ya kiswahili
(International Journal of Social Sciences and Information Technology, 2018-11)
Kwa kipindi kirefu wanawake wametwezwa na kudunishwa kutokana na dhuluma wanazofanyiwa na jamii
inayotawaliwa na mfumo wa kuumeni. Dhuluma wanazopata wanawake zinatokana na asasi tofauti tofauti
ambazo ndizo zinapaswa ...
Usimulizi wa riwaya ya Nyongo mkalia ini
(2000)
Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma ya fasihi ya Kiswahili
na kuiweka katika mizani, upande mmoja ubebe tahakiki zilizozingatia maudhui na
mwingine zile zilizoangaza fani, upande wa maudhui utalemewa ...
Language choice for development the case for swahili in Kenya
(Taylor & Francis Ltd, 2003-06-01)
Development, aimed at a general improvement of the quality of life
in society, should target the majority and not the minority at the exclusion of the
majority. Attainment of such development, in turn, calls for ...
Language and regional integration: foreign or African languages for the African union?
(Taylor & Francis, 2005)
True to the Kiswahili adage that'umoja ni nguvu'(unity is strength), it has become fashionable to seek strength in unity. This is evident, for instance, in the corporate world where different organisations are seeking ...
Kufaa kwa nadharia ya uchanganuzi vijenzi katika uchambuzi wa hiponimia
(2017-10-03)
Hiponimia ni mojawapo ya mahusiano ya kifahiwa inayoashiria uhusiano ambapo leksimu ya
jumla inajumuisha kimaana leksimu mahususi. Uhusiano wa leksimu kihiponimia ulidhukuriwa
kuwa unafanana katika lugha anuwai ulimwenguni ...
An exposition of some adapted lexemes in Dholuo
(Horizon Research Publishing, 2013-07)
The paper gives an exposition of some adapted English lexemes into Dholuo. The work relied on a descriptive design. Total purposive sampling technique was incorporated in collecting secondary data to saturation level. All ...
Mielekeo ya wasomi wa kiswahili na viongozi wa Afrika mashariki kuhusu lugha ya kiswahili
(2011)
Lugha ya Kiswahili imeenea na kukua kiasi cha kuweza kupambana na zingine katika ngazi
za kimataifa kwenye mfumo wa sasa wa utandawazi. Hata hivyo, Kiswahili hakiwezi kupata
fanaka inayotarajiwa huko nje iwapo hakithaminiwi ...
Integrative and instrumental motivation in the learning of African languages
(2015)
Although motivation is widely acknowledged as an important factor in language learning, there is less agreement on whether it is integrative or instrumental motivation that leads to more involvement and higher success in ...
Mielekeo ya Lugha na Ruwaza za Matumizi ya Lugha ya walimu wa Kiswahiliwa shule za msingi
(KIBU, 2020-01)
Mielekeo ni moja kati ya dhana za taaluma ya sayansi-tabia iliyoshughulikiwa na
watafiti kwa zaidi ya karne moja iliyopita. Mielekeo imefanyiwa uchunguzi
mwingi na matokeo yake kuchapishwa katika taaluma za saikolojia, ...
The role of creative arts in the fight against COVID-19 in Kenya
(East African Scholars Publisher, Kenya, 2021-02-01)
Initial response to the outbreak and fast spread of the coronavirus (Covid-19)
disease was very slow in most countries. Rightly, most efforts at understanding it turned to and
concentrated on the medical field, and within ...