Mielekeo ya Lugha na Ruwaza za Matumizi ya Lugha ya walimu wa Kiswahiliwa shule za msingi

Loading...
Thumbnail Image

Date

2020-01

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

KIBU

Abstract

Mielekeo ni moja kati ya dhana za taaluma ya sayansi-tabia iliyoshughulikiwa na watafiti kwa zaidi ya karne moja iliyopita. Mielekeo imefanyiwa uchunguzi mwingi na matokeo yake kuchapishwa katika taaluma za saikolojia, isimujamii na saikolojia jamii ya lugha (Kircheri, 2010). Kwa kuwa tafiti hizo zilifanywa kwa misingi ya taaluma mbalimbali, hakuna fasili ya moja kwa moja ya mielekeo. Hata hivyo, fasili zifuatazo zitaufaidi uchunguzi huu.

Description

Keywords

Mielekeo ya lugha, Ruwaza za matumizi, Kiswahili, Lugha na jamii

Citation