Faculty of Education and Social Science(FESS)
Permanent URI for this communityhttp://erepository.kibu.ac.ke/handle/123456789/61
Browse
Browsing Faculty of Education and Social Science(FESS) by Issue Date
Now showing 1 - 11 of 11
- Results Per Page
- Sort Options
Item Mielekeo ya wanafunzi kuhusu lugha ya Kiswahili:mfano wa mikoa ya Pwani na Nyanza nchini Kenya(Chama cha Kiswahili Afrika Mashariki, 2007) Mohochi, Ernest SangaiItem Kiswahili ,usambazaji wa habari na uhamasishaji wa umma kwa ajili ya maendeleo(Chama cha Kiswahili Afrika Mashariki, 2007) Mohochi, Ernest SangaiItem Usawiri wa wahusika katika hadithi fupi ya kiswahili(Chama cha Kiswahili Afrika Mashariki, 2007) Mohochi, Ernest SangaiItem Utekelezaji wa silabasi mpya ya somo la Kiswahili katika shule za upili: Mtazamo wa walimu(Kiswahili na Elimu Nchini Kenya pp191-204. Nairobi: Twaweza Communications & CHAKITA-Kenya, 2007) Ipara, Isaac O.Utekelezaji wa silabasi mpya ya somo la Kiswahili katika shule za upili: Mtazamo wa walimu Kiswahili na Elimu Nchini Kenya pp191-204. Nairobi: Twaweza Communications & CHAKITA-KenyaItem Muyaka bin Haji_Mzalendo ama ndumila kuwili(Chama cha Kiswahili Afrika Mashariki, 2007) Mohochi, Ernest SangaiItem Jungu kuu limeisha ukoko?Uendelelaji wa kiswahili kupitia uundaji wa msamiati(Chama cha Kiswahili Afrika Mashariki, 2007) Mohochi, Ernest SangaiItem Fani ya isimujamii kwa shule za sekondari(Oxford University Press, Nairobi, 2008) Ipara, Isaac O.; Maina, GeoffreyFani ya Isimujamii kwa Shule za Sekondari ni kitabu kitokanacho na juhudi za makusudi za kuziba pengo la ukosefu wa vitabu kwenye ufundishaji wa somo la Isimujamii katika shule za sekondari. Kitabu hiki kimeandikwa na wataalamu wenye tajriba pana katika taaluma ya lugha na ufundishaji wake. Ni zao la utafiti wa kina na tathmini ya mahitaji ya wanafunzi na jamii. Upekee wa kitabu hiki unatokana na jinsi kinavyozingatia mahitaji ya walengwa. Kitabu kimekusanya mada na vipengele vyote vya Isimujamii vilivyomo katika silabasi mpya na kuvizamia kwa uketo. Aidha, maudhui yameshughulikiwa kwa namna inayosisimua na kuchochea hamu ya wanafunzi na walimu. Maelezo nayo yametolewa kwa utoshelevu na kwa njia sahali inayobainisha kwa uwazi dhana na hoja ili kurahisisha usomaji na uelewa. Mifano kemkemu inayokita katika mazingira na miktadha halisi inayofahamika imetolewa ili kukipa kitabu nguvu za kipekee. Kila sehemu ina maswali yenye lengo la kuzindua fikira za walengwa, kuwapa mazoezi na kuwapiga msasa. Fani ya Isimujamii kwa Shule za Sekondari kimeandikwa ili kukidhi kikamilifu mahitaji ya silabasi mpya ya Kiswahili na kuwapa wanaokitumia umilisi katika matumizi ya lugha kwenye nyanja mbalimbali. Kwa hakika kitabu hiki ni wenzo tosha kwa mwanafunzi anayejiandaa kuukabili ipasavyo, na kwa kujiamini, Mtihani wa Kiswahili wa Kitaifa wa Kidato cha Nne.Item Information needs of women refugees at Kakuma refugee camp in Kenya(LAP Lambert Academic Publishing, 2013-06-19) Kilei, Ndukuh CharlesThe number of civil wars worldwide has increased dramatically since the end of the cold war,(1943-1991)The global increase in civil wars is because of ethnic and religious conflicts (Quick;1995). Refugees in acute crisis leave their homelands suddenly with little prior planning and with no choice about their destination. Information is very important to every aspect of society and to understand the information needs of immigrants is indeed essential for librarians or service providers in order to provide better services to them. Fisher [et al..] (2004) have specifically recognized the fact that immigrants are generally perceived to be information poor, meaning they face major challenges with finding and using greatly needed everyday information. In fact, immigrants need information constantly of all types like every other person for the development of a person.This piece of work targets the women refugees Information needs,this is because women have unique information needs such health issues because they are more exposed to disease and other woman related complications. They are also prone to deprivation of rights and exploitation than their male counterparts.Item Sensitivity analysis and calibration of the modified universal soil loss equation (MUSLE) for the upper Malewa catchment, Kenya(Elsevier, 2013-09-01) Mutua., Benedict Mwavu.; Odongo., V.O.; Onyando., J.O.; Becht, R.Simulation models are widely used for studying physical processes such as surface runoff, sediment transport and sediment yield in catchments. Most models need case-specific empirical data for parameterization before being applied especially in regions other than the ones they have been developed. Sensitivity analysis is usually performed to determine the most influential factors of a model so that they can be prioritized for optimization. In this way uncertainties in model outputs can be reduced considerably. This study evaluates the commonly used modified universal soil loss equation (MUSLE) model used for sediment yield simulation for the case of the upper Malewa catchment in Kenya. The conceptual factors of the model are assessed relative to the hydrological factors in the model. Also, the sensitivity of the model to the choice of the objective function in calibration is tested. The Sobol' sensitivity analysis method was used for evaluating the degree of sensitivity of the conceptual and hydrological factors for sediment yield simulations using the MUSLE model. Nash-Sutcliffe Efficiency (NSE) and the modified Nash-Sutcliffe Efficiency (NSEm) are used to test the sensitivity of the model to the choice of the objective function and robustness of model performance with sediment data measured from upper Malewa catchment, Kenya. The results indicate that the conceptual factors are the most sensitive factors of the MUSLE model contributing about 66% of the variability in the output sediment yield. Increased variability of sediment yield output was also observed. This was attributed to interactions of input factors. For the upper Malewa catchment calibration of the MUSLE model indicates that the use of NSEm as an objective function provides stable results, which indicates that the model can satisfactorily be applied for sediment yield simulations.Item DSC 052: Introduction to social work and community development(KIBU, 2017-09-12) KIBUDSC 052: Introduction to social work and community developmentItem Ijaribu na Uikarabati(Oxford University Press East Africa Ltd 2018, 2018) Waititu, Francis; Ipara, Isaac O.
