Search
Now showing items 121-130 of 151
Dhima ya umahuluti wa utamaduni katika uamilishaji wa nyimbo za harusi miongoni mwa wanandi
(Easo, 2019-11-15)
Wakenya wengi hushutumu suala la umahuluti wa utamaduni katika nyimbo za wasanii maarufu nchini. Madai yao ni kuwa umahuluti wa utamaduni husababisha kupotea kwa utamaduni asili wa jamii mbalimbali za Wakenya na kuiga ule ...
Tamathali za semi zinazosawiri ubabedume katika majigambo ya miviga ya shilembe na mchezasili wa mayo ya waisukha, nchini kenya kwa mtazamo wa semantiki
(East African nature & science organization, 2019-09-06)
Makala hii imewasilisha baadhi ya matokeo ya utafiti wa Uzamifu uliotafitia
ubabedume katika majigambo ya miviga ya Shilembe na mchezasili wa Mayo
katika jamii ya Waisukha nchini Kenya kwa mtazamo wa semantiki. Utafiti ...
Mchango wa tamasha za muziki katika ufundishaji wa uainishaji wa nyimbo katika shule za upili nchini Kenya
(Easo, 2019-08-23)
Utafiti huu ulichunguza mchango wa tamasha za muziki katika ufundishaji na
uainishaji wa nyimbo katika shule za upili nchini Kenya. Utafiti huu hasa
ulilenga kupambanua uainishaji wa nyimbo katika tamasha za muziki,
k ...
Lugha kama rasilimali ya jamii: uchunguzi wa redio za fm zinazotumia kibukusu katika kaunti ya bungoma
(Moi University, 2017-01-12)
Matumizi ya lugha za kiasili yameshutumiwa na watu wengi kwa kukuza ukabila haswa nchini Kenya. Hata hivyo, lugha hizi zinaweza kuwa rasilimali kwa wazungumzaji zikitumiwa vyema. Utafiti huu ulilenga kuchunguza lugha za ...
The influence of police-community partnership strategy on social relations in Nairobi county, Kenya
(Target Publishing, 2019-10)
Post terrorism security intervention strategies cut across social, cultural, economic and political lens of
the society. It is a vague area in social life that calls for sociological approach and few studies have been ...
Vipengele vya Fasihi Simulizi Vinavyooana na Hali Katika Taaluma ya Sheria
(KIBU, 2020-08-13)
Utafiti ulilenga kubainisha vipengele maalum vya Fasihi Simulizi vinavyooana na hali katika taaluma ya Sheria. Utafiti uliegemea uendeshaji wa kesi kitamaduni miongoni mwa jamii ya Babukusu. Ili kuafikia lengo hili utafiti ...
Nafasi Ya Fasihi Simulizi Katika Kuwasilisha Ujumbe Kisheria: Mfano wa Uendeshaji Kesi Za Kitamaduni Miongoni Mwa Babukusu
(KIBU, 2020-12-01)
Utafiti uliazimia kubainisha nafasi ya Fasihi Simulizi katika kuwasilisha ujumbe kisheria. Ulionyesha namna vipengele bainifu vya Fasihi Simulizi vinaweza kutumika kuwasilisha ujumbe kisheria. Ulifanya hivyo kwa kuegemea ...
A Critical Discourse Analysis of Linguistic and Discursive Strategies Used in Kenya’s Citizen Television Advertisements to Display Gender Ideologies
(KIBU, 2020-10-14)
The present study sought to examine how linguistic devices and discursive strategies used in Kenya’s Citizen TV ads which pattern men and women differently according to gender well-being. This thereby results in unconscious ...
Maudhui katika Nyimbo Teule Kwenye Kipindi cha Rauka
(KIBU, 2020-07-15)
Utafiti huu unahusu maudhui katika nyimbo teule kwenye vyombo vya habari, mfano ni nyimbo katika kipindi cha Rauka katika runinga ya Citizen. Utafiti ulichochewa na haja ya kutaka kuchunguza nafasi ya vyombo vya habari ...
Mielekeo ya Lugha na Ruwaza za Matumizi ya Lugha ya walimu wa Kiswahiliwa shule za msingi
(KIBU, 2020-01)
Mielekeo ni moja kati ya dhana za taaluma ya sayansi-tabia iliyoshughulikiwa na
watafiti kwa zaidi ya karne moja iliyopita. Mielekeo imefanyiwa uchunguzi
mwingi na matokeo yake kuchapishwa katika taaluma za saikolojia, ...