Search
Now showing items 21-30 of 42
An exposition of some adapted lexemes in Dholuo
(Horizon Research Publishing, 2013-07)
The paper gives an exposition of some adapted English lexemes into Dholuo. The work relied on a descriptive design. Total purposive sampling technique was incorporated in collecting secondary data to saturation level. All ...
Mielekeo ya wasomi wa kiswahili na viongozi wa Afrika mashariki kuhusu lugha ya kiswahili
(2011)
Lugha ya Kiswahili imeenea na kukua kiasi cha kuweza kupambana na zingine katika ngazi
za kimataifa kwenye mfumo wa sasa wa utandawazi. Hata hivyo, Kiswahili hakiwezi kupata
fanaka inayotarajiwa huko nje iwapo hakithaminiwi ...
Integrative and instrumental motivation in the learning of African languages
(2015)
Although motivation is widely acknowledged as an important factor in language learning, there is less agreement on whether it is integrative or instrumental motivation that leads to more involvement and higher success in ...
Challenges of teaching the revised Kiswahili syllabus in secondary schools, a case study of Bungoma west district Kenya
(KIBU, 2018-09-03)
The purpose of this study was to find out the challenges facing the teaching of the revised syllabus of
Kiswahili in secondary schools in Bungoma West District. The performance of Kiswahili language dropped
in the recent ...
Baker’s strategies in translation: a lexico-semantic analysis of four luhya dialects; Lukabras, Lwisukha, Luwanga and Lukhayo in informative text
(KIBU, 2018-09-03)
There exist numerous strategies of dealing with the problem of Target Language Non-equivalence in the
translation of different text types. In this regard, Baker’s proposed strategies for dealing with nonequivalence at the ...
Linguistic variations in spoken Kiswahili: a case of form one students from Bungoma east sub county
(KIBU, 2018-09-03)
The research paper identified and described phonological, morphological and grammatical variations in
Kiswahili spoken by form one students selected from private/boarding primary schools and public day
schools. The ...
Dhima ya umahuluti wa utamaduni katika uamilishaji wa nyimbo za harusi miongoni mwa wanandi
(Easo, 2019-11-15)
Wakenya wengi hushutumu suala la umahuluti wa utamaduni katika nyimbo za wasanii maarufu nchini. Madai yao ni kuwa umahuluti wa utamaduni husababisha kupotea kwa utamaduni asili wa jamii mbalimbali za Wakenya na kuiga ule ...
Tamathali za semi zinazosawiri ubabedume katika majigambo ya miviga ya shilembe na mchezasili wa mayo ya waisukha, nchini kenya kwa mtazamo wa semantiki
(East African nature & science organization, 2019-09-06)
Makala hii imewasilisha baadhi ya matokeo ya utafiti wa Uzamifu uliotafitia
ubabedume katika majigambo ya miviga ya Shilembe na mchezasili wa Mayo
katika jamii ya Waisukha nchini Kenya kwa mtazamo wa semantiki. Utafiti ...
Mchango wa tamasha za muziki katika ufundishaji wa uainishaji wa nyimbo katika shule za upili nchini Kenya
(Easo, 2019-08-23)
Utafiti huu ulichunguza mchango wa tamasha za muziki katika ufundishaji na
uainishaji wa nyimbo katika shule za upili nchini Kenya. Utafiti huu hasa
ulilenga kupambanua uainishaji wa nyimbo katika tamasha za muziki,
k ...
Lugha kama rasilimali ya jamii: uchunguzi wa redio za fm zinazotumia kibukusu katika kaunti ya bungoma
(Moi University, 2017-01-12)
Matumizi ya lugha za kiasili yameshutumiwa na watu wengi kwa kukuza ukabila haswa nchini Kenya. Hata hivyo, lugha hizi zinaweza kuwa rasilimali kwa wazungumzaji zikitumiwa vyema. Utafiti huu ulilenga kuchunguza lugha za ...