Search
Now showing items 11-20 of 28
Dhuluma kama kichocheo cha mzinduko wa wanawake katika riwaya ya kiswahili
(International Journal of Social Sciences and Information Technology, 2018-11)
Kwa kipindi kirefu wanawake wametwezwa na kudunishwa kutokana na dhuluma wanazofanyiwa na jamii
inayotawaliwa na mfumo wa kuumeni. Dhuluma wanazopata wanawake zinatokana na asasi tofauti tofauti
ambazo ndizo zinapaswa ...
Mchango wa tamasha za muziki katika ufundishaji wa uainishaji wa nyimbo katika shule za upili nchini kenya
(Eanso, 2019-08-23)
Utafiti huu ulichunguza mchango wa tamasha za muziki katika ufundishaji na
uainishaji wa nyimbo katika shule za upili nchini Kenya. Utafiti huu hasa
ulilenga kupambanua uainishaji wa nyimbo katika tamasha za muziki,
k ...
Masimulizi katika mchakato wa ufundishaji wa kipengele maalum cha msuko katika riwaya ya kidagaa kimemwozea na ile ya chozi la heri
(Eanso, 2019-08-23)
Masimulizi katika mchakato wa ufundishaji wa vipengele maaalum vya msuko
katika riwaya ya Kidagaa Kimemwozea na ile ya Chozi la Heri. Lengo la Makala
haya lilikuwa ni kubainisha namna ambavyo masimulizi yalivyojitokeza ...
Kufaa kwa nadharia ya uchanganuzi vijenzi katika uchambuzi wa hiponimia
(2017-10-03)
Hiponimia ni mojawapo ya mahusiano ya kifahiwa inayoashiria uhusiano ambapo leksimu ya
jumla inajumuisha kimaana leksimu mahususi. Uhusiano wa leksimu kihiponimia ulidhukuriwa
kuwa unafanana katika lugha anuwai ulimwenguni ...
An exposition of some adapted lexemes in Dholuo
(Horizon Research Publishing, 2013-07)
The paper gives an exposition of some adapted English lexemes into Dholuo. The work relied on a descriptive design. Total purposive sampling technique was incorporated in collecting secondary data to saturation level. All ...
Mielekeo ya wasomi wa kiswahili na viongozi wa Afrika mashariki kuhusu lugha ya kiswahili
(2011)
Lugha ya Kiswahili imeenea na kukua kiasi cha kuweza kupambana na zingine katika ngazi
za kimataifa kwenye mfumo wa sasa wa utandawazi. Hata hivyo, Kiswahili hakiwezi kupata
fanaka inayotarajiwa huko nje iwapo hakithaminiwi ...
Integrative and instrumental motivation in the learning of African languages
(2015)
Although motivation is widely acknowledged as an important factor in language learning, there is less agreement on whether it is integrative or instrumental motivation that leads to more involvement and higher success in ...
Challenges of teaching the revised Kiswahili syllabus in secondary schools, a case study of Bungoma west district Kenya
(KIBU, 2018-09-03)
The purpose of this study was to find out the challenges facing the teaching of the revised syllabus of
Kiswahili in secondary schools in Bungoma West District. The performance of Kiswahili language dropped
in the recent ...
Baker’s strategies in translation: a lexico-semantic analysis of four luhya dialects; Lukabras, Lwisukha, Luwanga and Lukhayo in informative text
(KIBU, 2018-09-03)
There exist numerous strategies of dealing with the problem of Target Language Non-equivalence in the
translation of different text types. In this regard, Baker’s proposed strategies for dealing with nonequivalence at the ...
Linguistic variations in spoken Kiswahili: a case of form one students from Bungoma east sub county
(KIBU, 2018-09-03)
The research paper identified and described phonological, morphological and grammatical variations in
Kiswahili spoken by form one students selected from private/boarding primary schools and public day
schools. The ...