Repository logo
Communities & Collections
All of DSpace
  • English
  • العربية
  • বাংলা
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Ελληνικά
  • Español
  • Suomi
  • Français
  • Gàidhlig
  • हिंदी
  • Magyar
  • Italiano
  • Қазақ
  • Latviešu
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Српски
  • Svenska
  • Türkçe
  • Yкраї́нська
  • Tiếng Việt
Log In
New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Kinara, Gladys"

Filter results by typing the first few letters
Now showing 1 - 4 of 4
  • Results Per Page
  • Sort Options
  • No Thumbnail Available
    Item
    Individual Alienation and Political Oppression in Kenya as Depicted in Wahome Mutahi’s Novels
    (Journal of Emerging Trends in Educational Research and Policy Studies, 2012-06-09) Muindu, Japheth Peter; Kinara, Gladys; Jose, Anne
    The study was an attempt to analyze how Wahome Mutahi, in a selected three of his texts, engages the political concerns of his time in Kenya. Though there is no mention of Kenya, the events featured obtained in Kenya in the writer’s time. Similarly, some characters in the fiction are patterned after historical characters in Kenya at the period mediated in the works. Primary data was obtained from a critical reading of Wahome Mutahi’s selected novels, namely Three Days on the Cross (1991), The Jail Bugs (1992) and Doomsday (1999). Other materials, especially Wahome Mutahi’s `Whispers’ column in the Sunday Nation, formed the secondary sources, and relevant critical works were read and cited to support the study. The texts present a universe fragmented by political misrule, which induces alienation to individual characters. The worlds evoked in these works are characterized by political oppression and the major characters in the works are alienated. Chipota and Momodu in Three Days on the Cross, Albert Kweyu in The Jail Bugs and Ismail and Albert Lukulo in Doomsday are all alienated characters living in societies where political oppression obtains. The study is a useful addition to the corpus of emergent research into and knowledge about the significance of this previously neglected Kenyan writer, dramatist and journalist, Wahome Mutahi.
  • No Thumbnail Available
    Item
    Mapokeo ya Utenzi wa Mwana Kupona katika Upya wa Shaaban Robert: ‘Utenzi wa Hati’ na ‘Utenzi wa Adili’
    (East African Journal of Swahili Studies, 2024-07-11) Kinara, Gladys; Ngugi, Pamela Muhadia Yalwala; Wafula, Richard Makhanu
    Makala hii inalenga kuchunguza mapokeo ya Utenzi wa Mwana Kupona katika upya wa tenzi za Shaaban Robert: ‘Utenzi wa Hati’ na ‘Utenzi waAdili’ Robert (1967). Mapokeo yanaweza kuelezwa kama mila, desturi, fikra na hisia za kihistoria zinazohusu mtazamo sio tu wa yaliyopita zamani lakini pia uwepo wa mambo ya kihistoria na ya sasa kwa lengo la kuyapitisha kwa jamii (Sangi na wengine, 2012). Uchambuzi wa kazi hii umeegemezwa katika mihimili ya nadharia ya Bakhtin (1981) inayoshikilia kwamba lugha huwa na nguvu za Kani Kitovu na Kani Pewa. Kiwango cha Kani Kitovu huhusu nguvu za kisheria zinazotambulisha lugha. Hizi ni sheria za kisarufi na hazibadiliki. Katika muktadha wa fasihi, nguvu hizi zinawakilisha utamaduni wa jamii ambao daima unabaki kurithishwa na kufuatwa kama kanuni. Kiwango cha Kani Pewa nacho kinatokana na matumizi ya lugha katika jamii yanayobadilika kiwakati na yanatofautisha taaluma, tabaka na matumizi mengine ya lugha katika jamii. Nguvu za Kani Pewa zinajaribu kusukuma vipengele vya lugha kutoka katikati na kupelekea kuwa na wingi. Katika kiwango cha fasihi, nguvu za Kani Kitovu zinawakilisha utamaduni wa jamii ambao daima unabaki kurithishwa na kufuatwa kama kanuni. Kwa upande mwingine, kiwango cha Kani Pewa kinatokana na matumizi ya lugha katika jamii yanayobadilika kiwakati na yanayotofautisha taaluma, tabaka na matumizi mengine ya lugha katika jamii. Nguvu za Kani Pewa zinajaribu kusukuma vipengele vya lugha kutoka katikati na kupelekea kuwa na wingi. Katika kiwango cha fasihi, nguvu za Kani Pewa zinawakilisha upya na katika muktadha huu Utenzi wa Mwana Kupona katika tenzi za Shaaban Robert: ‘Utenzi wa Hati’ na ‘Utenzi wa Adili’. Utafiti ulikuwa wa kimaelezo na ulifanywa maktabani na nyanjani. Sampuli ya maktabani na nyanjani iliteuliwa kimakusudi. Maktabani, mtafiti alisoma kwa kina matini iliyochapishwa kwa lengo la kupata data ya msingi. Nyanjani, mtafiti alifanya mahojiano na majadiliano na wanajamii walioteuliwa katika kukusanya data. Data kutoka katika tenzi zilizoteuliwa, maandishi yaliyohusu utafiti, data ya nyanjani zilichambuliwa kulingana na lengo la makala haya na mihimili ya nadharia kwa lengo la kuonyesha namna mapokeo ya Utenzi wa Mwana Kupona yalivyobainika katika upya wa maandishi ya tenzi za Shaaban Robert: ‘Utenzi wa Hati’ na’ Utenzi wa Adili’. Matokeo ya utafiti huu yalibainisha kwamba Shaaban Robert (1967) katika kuandika ‘Utenzi wa Hati’ na’ Utenzi wa Adili’ aliazima pakubwa kutoka katika Utenzi wa Mwana Kupona mbali na kuongeza upya kwa mujibu wa hali ya kijamii ya wakati wake.
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Signification of HIV/AIDS in Babu Omar’s Kala Tufaha
    (KIBU, 2016-06) Kinara, Gladys; Muindu, Japheth
    Popular fiction takes literary ideas to the masses and ‘is meant to fulfill the spiritual enjoyment of all, it preaches values of equality and material wellbeing for all’ (Wanjala, 214).As a subgenre of popular fiction, Kenyan AIDS novels play a didactic role and are a useful literary intervention against a life threatening illness. Examples of AIDS themed novels in Kenya includeCarolyne Adalla’s Confessions of an AIDS Victim (1993), Meja Mwangi’s The Last Plague (2000), Wahome Mutahi’s The House of Doom (2004), Francis Imbuga’s Miracle of Remera (2004), Joseph Situma’s The Mysterious Killer (2001), and Moraa Gitaa’s Cruciblefor Silver and Furnacefor Gold (2008). Kenyan prose fiction written in Kiswahili has also made a significant contribution in representing AIDS. Babu Omar’s Kala Tufaha (2004) and William Mkufya’s Ua La Faraja(2005) are exemplary in their literary representation of the pandemic. While the novels written in English have received commensurate critical attention, for instance, (Muindu, 2014), there is a dearth of critical interpretation of the Kiswahili texts.The paper is an analysis of Babu Omar’s Kala Tufaha which takes as its central problem the significations AIDS in the novel. The examination of these significations through Judith Butler’s concept of linguistic performativity, where discourses bring into being what they name, offers fresh insight into novelistic interventions against AIDS. The paper appropriates Butler’s concepts to the discursive formation of illness identities and the construction of the diseased corporeality in discourse. It enriches the understanding of the function of the novel in fostering better conceptualization of the illness and it is a modest contribution to the existing scholarly interpretation of AIDS novels in Kenya.
  • No Thumbnail Available
    Item
    Upya wa Utenzi wa Mwana Kupona katika utenzi wa Howani Mwana Howani na Jawabu la Mwana Kupona
    (East African Journal of Swahili Studies, 2024-07-29) Kinara, Gladys; Wafula, Richard Makhanu; Ngugi, Pamela Muhadia Y.
    Makala hii ililenga kuchunguza upya wa Utenzi wa Mwana Kupona katika utenzi wa Howani Mwana Howani na Jawabu la Mwana Kupona. Makala hii iliongozwa na nadharia ya Bakhtin kuhusu lugha (1981) na Ufeministi wa Kiafrika iliyoasisiwa na Chioma (1980). Nadharia ya Bakhtin kuhusu lugha inashikilia kuwa lugha huwa na kani za aina mbili: nguvu za Kani Kitovu na Kani Pewa. Nguvu za Kani Kitovu zinafanya kazi kwa kuvuta vipengele vyote vya lugha na mbinu zake za ufasaha kuelekea katikati ili kutoa lugha moja iliyo sanifu au rasmi ambayo kila mmoja anaitumia. Nguvu hizo za Kani Kitovu zilikuwa kanuni zilozounganisha na kuleta kitu katikati. Nguvu za Kani Pewa zilijaribu kusukuma vipengele vya lugha kutoka katikati na kupelekea kuwa na wingi wa lugha au vijilugha. Kwa upande mwingine, Nadharia ya Ufeministi wa Kiafrika iliasisiwa katika miaka ya 1980 na Chioma na Kuendelezwa na Ogundipe (1994), Nnaemeka (2003) miongoni mwa wengine. Nadharia ya Ufeministi wa Kiafrika inafafanuliwa kama mapambano dhidi ya aina zote za dhuluma ili kupiga hatua katika kupata haki za wanawake. Jitihada hizi zinaweza kuwa za kijinsia, ubaguzi wa rangi, unyanyasaji wa kiuchumi kati ya dhuluma nyinginezo zinazolenga kumdhalilisha mwanamke (Bayu, 2019). Utafiti ulikuwa wa kimaelezo. Utafiti ulifanywa maktabani na nyanjani. Sampuli maktabani na nyajani iliteuliwa kimaksudi. Maktabani, mtafiti alisoma kwa kina matini iliyochapishwa kwa lengo la kupata data ya msingi. Nyanjani, mtafiti alifanya mahojiano na majadiliano na wanajamii walioteuliwa katika kukusanya data. Data kutoka katika tenzi zilizoteuliwa, maandishi yaliyohusu utafiti huu, data ya nyanjani zilichambuliwa kulingana na lengo la makala haya na mihimili ya nadharia kwa lengo la kuonyesha namna upya wa Mwana Kupona ulivyobainika katika utenzi wa Howani Mwana Howani na Jawabu la Mwana Kupona. Makala haya yalibainisha kuwa utenzi wa Howani Mwana Howani na Jawabu la Mwana Kupona zilisheheni upya kifani na kimaudhui katika mpito wa wakati.

DSpace software copyright © 2002-2026 LYRASIS

  • Privacy policy
  • End User Agreement
  • Send Feedback