Search
Now showing items 1-10 of 10
Vipengele vya Fasihi Simulizi Vinavyooana na Hali Katika Taaluma ya Sheria
(KIBU, 2020-08-13)
Utafiti ulilenga kubainisha vipengele maalum vya Fasihi Simulizi vinavyooana na hali katika taaluma ya Sheria. Utafiti uliegemea uendeshaji wa kesi kitamaduni miongoni mwa jamii ya Babukusu. Ili kuafikia lengo hili utafiti ...
Nafasi Ya Fasihi Simulizi Katika Kuwasilisha Ujumbe Kisheria: Mfano wa Uendeshaji Kesi Za Kitamaduni Miongoni Mwa Babukusu
(KIBU, 2020-12-01)
Utafiti uliazimia kubainisha nafasi ya Fasihi Simulizi katika kuwasilisha ujumbe kisheria. Ulionyesha namna vipengele bainifu vya Fasihi Simulizi vinaweza kutumika kuwasilisha ujumbe kisheria. Ulifanya hivyo kwa kuegemea ...
A Critical Discourse Analysis of Linguistic and Discursive Strategies Used in Kenya’s Citizen Television Advertisements to Display Gender Ideologies
(KIBU, 2020-10-14)
The present study sought to examine how linguistic devices and discursive strategies used in Kenya’s Citizen TV ads which pattern men and women differently according to gender well-being. This thereby results in unconscious ...
Maudhui katika Nyimbo Teule Kwenye Kipindi cha Rauka
(KIBU, 2020-07-15)
Utafiti huu unahusu maudhui katika nyimbo teule kwenye vyombo vya habari, mfano ni nyimbo katika kipindi cha Rauka katika runinga ya Citizen. Utafiti ulichochewa na haja ya kutaka kuchunguza nafasi ya vyombo vya habari ...
Mielekeo ya Lugha na Ruwaza za Matumizi ya Lugha ya walimu wa Kiswahiliwa shule za msingi
(KIBU, 2020-01)
Mielekeo ni moja kati ya dhana za taaluma ya sayansi-tabia iliyoshughulikiwa na
watafiti kwa zaidi ya karne moja iliyopita. Mielekeo imefanyiwa uchunguzi
mwingi na matokeo yake kuchapishwa katika taaluma za saikolojia, ...
Influence of Teachers’ Pedagogical Skills on Provision of Quality Education in Cheptais Sub-County, Bungoma County, Kenya
(Stratford Peer Reviewed Journals and Book Publishing, 2020-04-14)
Every educational process must have qualified teachers as a portion of the ingredients
essential in the provision of quality educational services to pupils. With the emerging,
trends in education in Kenya where the quality ...
The Relationship between Budget Adequacy and Student Enrolment in TVET Institutions in Bungoma County, Kenya
(Journal of Advances in Education and Philosophy, 2020-09-30)
The purpose of the study was to investigate the relationship between budget adequacy and student enrolment in TVET
institutions in Bungoma County, in Kenya. Proportionate stratified sampling, Census and simple random ...
'COLONIAL VIRUS'? COVID-19 and Radicalized Risk Narratives in South Africa, Ghana and Kenya
(University of Liverpool, 2020-07)
This report is the result of a research project undertaken in partnership with partners in Ghana, Kenya and South Africa between May and July 2020. It was supported by the University of Liverpool Global Challenges Strategy ...
The COVID-19 Pandemic and Racialised Risk Narratives in Kenya
(University of Liverpool, 2020-08)
This report examines the language used by government, media and social media to communicate risk and experiences of the COVID-19 pandemic in Kenya. It unpacks several themes, some of them captured in the poem. Collectively, ...
Teachers competencies in evaluation of competency based curriculum among special needs learners in Kenya
(GLOBAL JOURNAL OF EDUCATIONAL RESEARCH, 2020-09-09)
Assessment and evaluation activities are conducted to determine whether the curriculum content
provided to students resulted to gain of knowledge and understanding. With the Kenya implementing
the new Competency Based ...