Department of Kiswahili and Other African Languages
Browse by
Recent Submissions
-
Matumizi ya vifaa vya kisasa katika ufundishaji na ujifunzaji wa sarufi: mfano wa shule za upili za kaunti ndogo ya Moiben, Kenya
(KIBU, 2019-11)Utafiti ulichunguza matumizi ya vifaa vya kisasa katika ufundishaji na ujifunzaji wa sarufi katika shule za upili zilizoko kaunti ndogo ya Moiben. Malengo ya utafiti yalikuwa ni: Kuthibitisha upatikanaji wa vifaa vya ... -
Mchango wa tamasha za muziki katika ufundishaji wa uainishaji wa nyimbo katika shule za upili nchini kenya
(KIBU, 2019-11)Wizara ya Elimu imekuwa ikitumia tamasha za muziki kuwaelimisha wanafunzi na hadhira kuhusu masuala mbalimbali. Tafiti nyingi zimefanywa kuhusu kipera cha nyimbo, lakini kuna haja ya kuchunguza njia mbadala za ufundishaji ... -
Ufundishaji wa ushairi kwa kutumia tamthilia katika shule za upili nchini kenya: uchunguzi kifani wa kaunti ndogo ya teso kaskazini
(KIBU, 2019-11)Tafiti nyingi zimefanywa kuhusu utanzu mmoja kutumika kuwasilisha mawazo katika utanzu mwingine. Mbinu ya mwelekeo mseto imetafitiwa na wataalam mbalimbali kuhusu isimu kutumika kufundisha fasihi na fasihi kutumika kufundisha ... -
Tathmini ya vitabu vya kiada katika ufundishaji na ujifunzaji wa sarufi ya Kiswahili katika shule za msingi za kaunti ya Busia
(KIBU, 2018-04)Vitabu vya kiada ni nyenzo kuu hasa katika mchakato mzima wa ufundishaji na ujifunzaji. Ni vigumu kuafikia malengo ya elimu bila vitabu vya kiada. Ni muhimu kuteua kitabu cha kiada kinachofaa.Ufundishaji na ujifunzaji wa ... -
Matumizi ya tarakilishi katika ufundishaji wa fasihi simulizi katika shule za upili nchini Kenya: Uchunguzi kifani wa kaunti ya Bungoma
(Kibabii University, 2018-05)Matumizi ya teknolojia za kisasa katika mawasiliano ni muhimu sana leo. Katika muktadha wa elimu, mbinu za kurahisisha mawasiliano darasani ni muhimu ili kuhakikisha matokeo mema katika mtihani na pia kuwaandaa wanafunzi ...