Faculty of Education and Social Sciences (FESS)
Browse by
Collections in this community
Recent Submissions
-
Community radio and the development agenda of slum areas in Kenya: The case of Pamoja FM in Nairobi, Kenya
(KIBU, 2019-11)This study sought to examine the role of community radio in promoting the development agenda of slum areas with a specific focus on Pamoja FM that serves Kibera slums in Nairobi. The main objectives of this study were to ... -
Dialectics of power and resistance in Francis Imbuga’s betrayal in the city and the return of Mgofu
(KIBU, 2019-11)This study is an examination of dialectics of power acquisition, maintenance and resistance as depicted in Francis Imbuga’s two selected plays. The study addresses literature as a mirror of the society in relation to ... -
Capitation grant and textbook student ratio in public secondary schools in Bungoma south subcounty Bungoma county Kenya
(KIBU, 2019-11)The Kenyan government spends part of Capitation Grant (CG): 54% of the tuition amount for purchase of textbooks in Public Secondary Schools in order to attain ratio of one textbook per student. From 2009 up to 2017 Public ... -
Matumizi ya vifaa vya kisasa katika ufundishaji na ujifunzaji wa sarufi: mfano wa shule za upili za kaunti ndogo ya Moiben, Kenya
(KIBU, 2019-11)Utafiti ulichunguza matumizi ya vifaa vya kisasa katika ufundishaji na ujifunzaji wa sarufi katika shule za upili zilizoko kaunti ndogo ya Moiben. Malengo ya utafiti yalikuwa ni: Kuthibitisha upatikanaji wa vifaa vya ... -
Mchango wa tamasha za muziki katika ufundishaji wa uainishaji wa nyimbo katika shule za upili nchini kenya
(KIBU, 2019-11)Wizara ya Elimu imekuwa ikitumia tamasha za muziki kuwaelimisha wanafunzi na hadhira kuhusu masuala mbalimbali. Tafiti nyingi zimefanywa kuhusu kipera cha nyimbo, lakini kuna haja ya kuchunguza njia mbadala za ufundishaji ... -
Ufundishaji wa ushairi kwa kutumia tamthilia katika shule za upili nchini kenya: uchunguzi kifani wa kaunti ndogo ya teso kaskazini
(KIBU, 2019-11)Tafiti nyingi zimefanywa kuhusu utanzu mmoja kutumika kuwasilisha mawazo katika utanzu mwingine. Mbinu ya mwelekeo mseto imetafitiwa na wataalam mbalimbali kuhusu isimu kutumika kufundisha fasihi na fasihi kutumika kufundisha ... -
Ethnic conflicts and the livelihoods of the Pokot and the Turkana communities in Kainuk and Sigor divisions in Kenya (1963-2016)
(2018-11)Ethnic conflicts and the livelihoods of the Pokot and the Turkana communities in Kainuk and Sigor divisions in Kenya (1963-2016) -
An analysis of the influence of civic education on public participation in elections in Bungoma County, 1992-2013
(KIBU, 2018-11)An analysis of the influence of civic education on public participation in elections in Bungoma County, 1992-2013 -
Farmer-herder conflicts and socio-economic development of local communities in Mutitu Sub Countty of Kitui County, Kenya (1963-2013)
(KIBU, 2018-11)Farmer-herder conflicts and socio-economic development of local communities in Mutitu Sub Countty of Kitui County, Kenya (1963-2013) -
The redefined roles of women in Buchi Emecheta's the joys of motherhood and Tsitsi Dangarembga's nervous conditions
(KIBU, 2018-11)The redefined roles of women in Buchi Emecheta's the joys of motherhood and Tsitsi Dangarembga's nervous conditions -
Tathmini ya vitabu vya kiada katika ufundishaji na ujifunzaji wa sarufi ya Kiswahili katika shule za msingi za kaunti ya Busia
(KIBU, 2018-04)Vitabu vya kiada ni nyenzo kuu hasa katika mchakato mzima wa ufundishaji na ujifunzaji. Ni vigumu kuafikia malengo ya elimu bila vitabu vya kiada. Ni muhimu kuteua kitabu cha kiada kinachofaa.Ufundishaji na ujifunzaji wa ... -
Matumizi ya tarakilishi katika ufundishaji wa fasihi simulizi katika shule za upili nchini Kenya: Uchunguzi kifani wa kaunti ya Bungoma
(Kibabii University, 2018-05)Matumizi ya teknolojia za kisasa katika mawasiliano ni muhimu sana leo. Katika muktadha wa elimu, mbinu za kurahisisha mawasiliano darasani ni muhimu ili kuhakikisha matokeo mema katika mtihani na pia kuwaandaa wanafunzi ...