Simiyu, Fred WanjalaLeo, Sanja Leonard2026-07-132026-07-132026-03-13Simiyu, F. C. N. W. & Leo, L. S. (2026). Kisima Chenye Hekima na Hadithi Nyingine. Nairobi, Kenya: Tunu Publishers.978-9966-59-027-5http://erepository.kibu.ac.ke/handle/123456789/11917BookMkusanyiko huu ni wa kipekee maanake ni wa kwanza kufanywa na chama cha kitaaluma cha CHAKITA. Hivyo basi, ni kazi ambayo inagusa kina cha roho za wapenzi wote wa lugha hii adhimu ambao ni wanachama. Diwani hii ni ya kwanza katika mchakato mkubwa unaotarajiwa. Kufikia sasa, uandishi wa hadithi fupi umepevuka sana nchini Kenya na kwa wakati huu unashindana na riwaya na labda unapiku uandishi wa tamthilia ambao ni haba. Siyo kwamba tamthilia haziandikwi, la! Zipo tu ingawa hazichapishwi kwa wingi. Muhimu zaidi ni kuhusu toni mbalimbali ambazo tunazishuhudia katika utunzi wa hadithi fupi. Baadhi ya toni hizi ni kero, usisimuzi wa fikra, uchochezi wa hatua mwafaka na hata huzuni. Toni hizi zunatumiwa kuibua masuala mtambuko katika jamii. Pia ikumbukwe kwamba, kipengele hiki cha kimtindo kimechangamkiwa sana na waandishi wa hadithi fupi hivi karibuni.otherDiwaniKisima chenye Hekima na Hadithi NyingineTanabui la maishamchuuziDaftari la dadanguKisima Chenye Hekima na Hadithi NyingineBook